NI
TABIBU WA KARIBU
1.
Ni tabibu wa karibu, tabibu wa ajabu
Na
rehema za daima, ni dawa yake njema
Imbeni malaika sifa za Yesu Bwana
Pweke limetukuka, jina lake Yesu
2.
Hatufai kuwa hai, wala hatutumai,
Ila
yeye kweli ndiye, atupumzishaye
3.
Dhambi pia na hatia, ametuchukulia,
Twenendeni
na amani, hata kwake mbinguni
4.
Uliona tamu jina, la Yesu Kristu Bwana,
Yuna
sifa mwenye kufa, asishindwe na kufa
5.
Kila mume asimame, sifa zake zivume,
Wanawake
na washike, kusifu jina lake
6.
Na vijana wote tena, wam pendao sana,
Waje
kwake wawe wake, kwa utumishi wake
No comments:
Post a Comment